NGOME J & U

Customers Satisfaction is Our Pride
123 Street, New York, USA info@example.com +012 345 67890

TPDF M&I WAACHANA NA MATUMIZI YA KUNI NA MKAA

By Admin || May 28, 2025

Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax ameupongeza uongozi wa kikosi cha Ruvu JKT kilichopo Mkoani Pwani kwa kuachana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa na kuanza kutumia nishati ya gesi kwa asilimia 100. Ruvu JKT waachana na matumizi ya kuni na mkaa.


Mhe.Dkt. Tax ametoa pongezi hizo tarehe 3 Aprili 2025 wakati alipofanya ziara kikosini hapo na kujionea namna kikosi hicho chini ya Uongozi wa kamanda kikosi Kanali Peter Mnyani unavyotekeleza kwa vitendo maelekezo ya serikali ya kuachana na matumizi ya kuni na mkaa kwa Taasisi zinazohudumia watu zaidi ya 100.

This is a caption for the video: “My Sample Video Title”

Amepongeza ubunifu wa kuanzisha bustani ya wanayama pori walio wapole na kuwakaribisha watanzania kutembelea bustani hiyo ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kukuza utalii wa ndani.

Alex Robin
Welder
Andrew Bon
Welder
Martin Tompson
Welder
Clarabelle Samber
Welder